Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Fadlu kumfuata Ramovic?

Ramovic Ramovic

DAR ES SALAAM

Na Nicolaus Kilowoko

Kufuatia kuwa na mwendelezo mzuri tangu alipojiunga na klabu ya soka ya Simba, kocha raia wa Afrika Kusini Fadlu Davis, imeelezwa kuwa ameanza kuufatiliwa na viongozi wa juu wa klabu ya soka ya USM Alger, kutoka nchini Algeria.
Habari ambazo Tumaini Letu imepekua na kuzidaka zinaeleza kuwa matajiri hao kutoka Algeria wanataka kuvunja kibubu kwa ajili ya kuhakikisha kocha huyo wanamtwaa, ili akawasaidie kwenye Ligi yao pamoja na michuano ya Klabu Bingwa Afrika, kitu ambacho kinaonekana kuwachanganya Simba.
Ikumbukwe hata kocha Sead Ramovic aliwaponyoka Yanga hivi karibuni baada ya matajiri wa Belouizdad kuweka pesa nyingi mezani, dau ambalo inaelezwa liliwawia vigumu Yanga kumbakisha.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.