Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Huyu ndiye aliyebadilisha Sheria ya kulimwa kadi baada ya kuvua jezi

Na Nicolaus Kilowoko

Diego Forlán Corazo ana umri wa miaka 45 sasa, akiwa amezaliwa mwaka 1979. Ni mchezaji wa sasa wa mchezo wa tenisi akitokea Uruguay, lakini pia ni Meneja wa soka na mchezaji wa zamani wa kandanda ambaye alicheza kama mshambuliaji.
Akichukuliwa kuwa mmoja wa washambuliaji bora zaidi wa kizazi chake, Forlán ni mshindi mara mbili wa Pichichi Trophy na Kiatu cha Dhahabu cha Ulaya katika ngazi ya klabu.
Akiwa na timu ya taifa ya Uruguay, alipata mafanikio ya kipekee katika Kombe la Dunia la FIFA la 2010, akimaliza kama mfungaji bora wa pamoja akiwa na mabao matano, akishinda bao la michuano hiyo, na kushinda Mpira wa Dhahabu kama mchezaji bora wa mashindano hayo.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.