Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Wakili Mpanju ahimiza mshikamano

Kagera

Na Silivia Amandius

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Wakili Amon Mpanju, amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii mkoani Kagera, kufanya kazi kwa ushirikiano na wadau wengine, ili kuwaleta wananchi pamoja.
Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi pikipiki, kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii katika Mkoa wa Kagera, Mpanju alisema kuwa maendeleo ya kweli yapo kwa wananchi, hivyo ni muhimu watumishi hao kuwafikia hadi ngazi za vijiji.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.