Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Papa atoa ufafanuzi kuhusu Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili

VATICAN CITY, Vatican

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ulimwenguni, Baba Mtakatifu Leo XIV, amekazia kuhusu furaha ya Mama Kanisa kwa zawadi ya Bikira Maria aliyekingiwa dhambi ya asili, kielelezo cha usafi na utakatifu, ili aweze kumzaa Kristo Yesu, Mwana wa Mungu kwa ajili ya wokovu wa walimwengu, Sherehe ambayo ilitangazwa Desemba 8, 1854 na Papa Pio IX.
Papa aliyasema hayo katika Maadhimisho ya Sherehe ya Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili, kwenye Uwanja wa Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican, sherehe ambayo ilitangazwa Desemba 8, 1854 na Papa Pio IX.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.