Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Bodi ya Ligi kusaka ‘friji la viporo’

DAR ES SALAAM

Na Arone Mpanduka

Licha ya timu nne za Ligi Kuu kuwa nyuma ya ratiba, kutokana na ushiriki wa michuano ya kimataifa, uongozi wa Bodi ya Ligi umesema kuwa unasaka njia bora, ya kuhakikisha hakutakuwa na viporo vingi msimu huu.
Kwa sasa timu za Simba, Yanga, Azam FC na Singida Black Stars, zimeonekana kuwa na mechi chache zaidi za kucheza, ikilinganishwa na timu nyingine, kutokana na ushiriki wao wa kimataifa.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.