Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Rooney aihurumia Tottenham

London, Uingereza
Tottenham Hotspurs wako kwenye vita vya kushushwa daraja, anasema nahodha wa zamani wa Uingereza Wayne Rooney.
Kichapo cha 2-0 kutoka kwa Manchester United, kiliongeza mwendo wao wa kutoshinda katika Ligi ya Premia, hadi mechi saba na kuwaacha vijana wa Thomas Frank, wakiwa nafasi ya 15 kwenye jedwali na pointi sita pekee, juu ya eneo la kushushwa daraja.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.