Nottingham, EnglandAndy Murray anajiandaa kwa Wimbledon yake ya 15, itakayoanza Julai 3 mwaka huu, huku nyota huyo mwenye umri wa miaka 36, lakini hatazami kustaafu…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Kocha mkuu wa timu ya KMC ya Kinondoni Jamhuri Kihwelo amesema anataka kufanya mpango wa kumshawishi golikipa mstaafu Juma…
LONDON, EnglandBingwa wa masumbwi mara mbili kwa upande wa wanawake Natasha Jonas, anatarajiwa kupanda ulingoni kupigania taji lake la nne la dunia mnamo Julai 1…
Dar es Salaam Na Arone Mpanduka Arsenal ilianza kama utani hivi pale kikundi cha wafanyakazi katika kiwanda cha kuzalisha zana za kivita cha Woolwich, walipoamua…
AMSTERDAM, UholanziMshambulizi wa zamani wa Uholanzi Quincy Promes amehukumiwa kifungo cha miezi 18 jela kwa kumdunga kisu binamu yake kwenye goti.Tukio hilo lilitokea kwenye karamu…
Na Arone Mpanduka Hivi karibuni tumeshuhudia Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) likimtimua kocha wa timu ya taifa (Taifa Stars), Kim Poulsen, baada ya…
Nairobi, KenyaMwendesha baiskeli wa Kenya Suleiman Kangangi amefariki dunia kufuatia ajali ya mwendo kasi katika mbio za magari nchini Marekani siku ya Jumamosi.Mchezaji huyo mwenye…
DAR ES SALAAM Na Nicolaus Kilowoko Kocha Msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars Mecky Mexime amefunguka kuwa kwa sasa Watanzania wanapaswa kuganga…