Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Askofu awanyoshea kidole wenye nia ovu

Shinyanga

Na Angela Kibwana

Mhashamu Askofu Liberatus Sangu wa Jimbo Katoliki la Shinyanga, amewata Wakatoliki kuendelea kuombea na kulinda amani ya nchi, hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumatano Oktoba 29 mwaka huu, ili uwe huru na haki.
Askofu Sangu alisema hayo, wakati akihubiri katika Adhimisho la Misa Takatifu, iliyofanyika Parokia ya Mt. Rosa wa Lima – Kitangili jimboni humo, akiwakumbusha Wakatoliki kumuomba Mama Bikira Maria, alinde familia zao na Taifa kwa ujumla kuelekea Uchaguzi Mkuu, kabla na baada ya uchaguzi huo.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.