Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Habari Za Michezo

London, UingerezaKiungo wa kati wa Tottenham, Rodrigo Bentancur, anahitaji upasuaji wa misuli ya paja, na anatarajiwa kukosa angalau miezi mitatu.Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay,…
London, UingerezaMshindi wa fainali wa zamani wa Wimbledon, Milos Raonic, alisema kwamba amekuwa mtu mwenye bahati zaidi kutimiza ndoto zake, alipotangaza kustaafu kutoka tenisi.Mkanada huyo…
DAR ES SALAAM Na Nicolaus Kilowoko Kocha Mkuu wa klabu ya soka ya Simba, raia wa Afrika Kusini Steven Barker, baada ya kuiongoza klabu hiyo…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Shirikisho la ngumi Tanzania (BFT), limeandaa mikakati ya kumleta bondia maarufu duniani, Manny Pacquiao, nchini Tanzania, kwa ajili ya…
DAR ES SALAAM Na Arone Mpanduka Klabu ya Singida Black Stars, imesema kuwa haina ukaribu wala urafiki wowote na klabu ya Yanga, hasa kwenye kupeana…
NA PAUL MABUGA Ilikuwa ni usiku wa vilio, hasira, lakini pia fahari kubwa. Jumapili iliyopita nchini Morocco, dunia ilishuhudia vijana wa Taifa Stars wakiondolewa kwenye…
DAR ES SALAAM Na Arone Mpanduka Moja ya majina, yanayohusiana kwa karibu zaidi na klabu ya Real Madrid, na maendeleo ya mpira wa miguu barani…
London, UingerezaHakuna makubaliano ambayo yamekubaliwa bado, kuhusu kurudi kwa Tyson Fury, kwenye ndondi mwaka huu 2026.Bingwa huyo wa zamani wa dunia wa uzito wa juu,…
Canberra, AustraliaMichuano ya Australian Open itatoa zawadi ya rekodi ya pauni milioni 55, katika mashindano ya mwaka huu, lakini wachezaji wanasemekana wamekata tamaa, kwani haiwakilishi…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Tanzania inatarajiwa kushinda medali ya dhahabu, katika Mashindano ya Dunia ya Mbio za Nyika, kutokana na maandalizi ambayo yamefanyika.Wanariadha…