Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Adhimisho la Misa Takatifu ya kubariki Mafuta

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi (mwenye fimbo ya Kichungaji), Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (kulia kwa Askofu Mkuu), wakiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu wengine, Mapadri, Mashemasi na Mafrateri, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya kubariki Mafuta kuwa Matakatifu, iliyokwenda sanjari na Uzinduzi wa Utunzaji wa Mazingira katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu, jimboni humo. (Picha zote na Yohana Kasosi)

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.