Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Habari za Vatican

LiLONGWE, Malawi Baba Mtakatifu Fransisko amemtambua Padri Henry Chinkanda wa Jimbo Katoliki Dedza na Padri Patrick Thawale wa Lilongwe, kuwa Mamonsiyori.Heshima hii ilitolewa kwa Mapadri…
VATICAN CITY, VaticanBaba Mtakatifu Fransisko amedinzua rasmi vikundi vya mafunzo ambavyo vitaratibiwa na Sekretarieti Kuu inayoshirikisha mabaraza yenye uwezo.Kikao cha pili cha Sinodi kitafanyika kuanzia…
VATICAN CITY, Vatican Baba Mtakatifu Fransisko amesema kwamba wakimbizi na wahamiaji wanapaswa kuombewa na kupewa hifadhi wanapoomba hifadhi.Kauli hiyo ya Baba Mtakatifu imo katika tafakari…
Marsiglia, Ufaransa Kikundi cha Wananchi walio katika hali ngumu ya maisha wenye kupokea msaada kutoka kwa Watawa wa Shirika la Masista wa Mama Teresa wa…
TRIPOL, Libya Katika telegramu kwa Balozi wa Vatican huko Rabat nchini Libya, Baba Mtakatifu Fransisko anaonesha uchungu, na kuwaombea marehemu zaidi ya 2,300 waliofariki dunia…
BERLIN, Ujerumani Baba Mtakatifu Fransisko ametuma salam zake katika Mkutano wa Kimataifa wa Sala ya Amani wa Jumuiya ya Mtakatifu Egidio, huko Berlin, Ujerumani, akisema…
Separated they live in Bookmarksgrove right at the coast of the Semantics, a large language ocean. A small river named Duden flows by their place…
Kamati ya Uongozi wa Kitaifa ya Kushughulikia Mambo ya Kitume iliyoteuliwa na Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Ethiopia, ikiwa katika picha ya pamoja. ADDIS ABABA,…
NAIROBI, Kenya Askofu Mkuu Hubertus Maria van Megen, Balozi wa Kitume nchini Kenya na Sudan Kusini, amewataka waamini kujitahidi kupyaisha nyuso zao na kujitoa katika…