Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Mhashamu Stephano Musomba, UKWAKATA

Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Stephano Musomba (katikati mwenye fimbo ya kichungaji) pamoja na Mapadri wakiwa katika picha ya pamoja na waamini kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo hilo, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Sherehe ya Utume wa Kwaya Katoliki Tanzania (UKWAKATA), Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, iliyoadhimishwa Parokia ya Mtakatifu Bonaventura, Kinyerezi.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.