Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha
Masista kutoka Mashirika mbalimbali wanaofanyakazi ya Kitume Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Semina ya Kupinga Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu, iliyofanyika katika ukumbi Parokia ya…
Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakipeleka majitoleo Altareni kwa Askofu Mkuu wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Kutabaruku Kanisa jipya la Seminari Ndogo…
Waamini walioshiriki Kongamano la Karismatiki Katoliki Kambi ya Uponyaji, wakiongozwa na Kwaya kusifu na kuabudu wakati wa kuhitimisha kongamano hilo lililofanyika katika Parokia ya Mtakatifu Anthony wa Padua, Mbagala Zakhiem,…
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akifungua Mlango Mkuu wa Kanisa kuashiria uzinduzi wa Kanisa jipya la Seminari ya Mtakatifu Maria- Visiga,…
Viongozi wa Watawa wanaofanya Utume katika Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Watawa iliyoadhimishwa Parokia…
Viongozi wa Halmashauri ya Walei na Waamini wa Parokia ya Mtakatifu Dominiko – Mbezi Juu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa parokiani hapo katika Adhimisho la Misa Takatifu…
Mapadri kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiingia kanisani kuadhimisha Misa Takatifu ya Sikukuu ya Watawa iliyoadhimishwa Parokia ya Kristo Mfalme – Tabata, jimboni humo.
Paroko wa Parokia ya Familia Takatifu, Mburahati, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Vitalis Kassembo, akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi na Wadau wa Tumaini Media, baada…
Masista Wanajubilei ya Miaka 25 ya Utawa, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupongezwa na Watawa wenzao wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Watawa iliyoadhimishwa Parokia…