Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Tumaini Televisheni nchini Tanzania kwa kushirikiana na Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Italia (Conference Episcopal of Italia: CEI), imezindua rasmi mpango maalumu wa Utunzaji…
Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam (mwenye kofia ya Kiaskofu), Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Polycarp Askofu na Shahidi, Kilamba, Padri…
Mafrateri wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Uzinduzi wa Utunzaji wa Mazingira katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu, jimboni humo.
Paroko Msaidizi wa Parokia ya Mtakatifu Thomas wa Akwino – Kipunguni, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Nestory Damas akibariki Matawi yaliyoshikwa na Waamini wakati wa Adhimisho la…
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi (mwenye fimbo ya Kichungaji), Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (kulia kwa Askofu Mkuu), wakiwa katika picha ya…
Waamini wa Parokia ya Mtakatifu Polycarp Askofu na Shahidi – Kilamba, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiimba wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Matawi iliyoadhimishwa…
Waamini wa Parokia ya Mtakatifu Thomas wa Akwino – Kipunguni, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa kanisani wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Matawi iliyoadhimishwa…
Baadhi ya Waoblate wa Shirika la Wabenediktini wakiwa kanisani wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya kupokelewa Waoblate wapya, na wengine kuweka Nadhiri zao za Daima, iliyoadhimishwa katika Parokia ya…
Baadhi ya Waoblate wa Shirika la Wabenediktini wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya kupokelewa Waoblate wapya, na wengine kuweka Nadhiri zao za Daima, iliyoadhimishwa…