Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

14 waitwa kwenye Kombe la Mataifa la Netiboli

Helen Housby MBE (kushoto) Helen Housby MBE (kushoto)

LEDDS, Uingereza
Helen Housby MBE amejumuishwa katika kikosi cha wachezaji 14 cha Vitality Roses kitakachoshiriki Kombe la Mataifa ya Vitality kati ya Januari 20 na 21 na Januari 27 na 28.
Katika uwanja wa OVO Arena Wembley na First Direct Arena mjini Leeds wikendi mbili, Uingereza itamenyana na Australia, New Zealand na Uganda katika mchuano wa siku nne.
Mchezaji mwingine Nat Metcalf pia anarejea kikosini baada ya kuchukua mapumziko ya muda mrefu kufuatia kumalizika kwa Kombe la Dunia la Netiboli ambapo England walimaliza washindi wa pili kwa Australia.
Vitality Roses wanaingia kwenye shindano hilo wakiwa nyuma ya ushindi wa 2-1 wa Vitality Netball Series dhidi ya Afrika Kusini mnamo Desemba.
Kabla ya mchuano huo, Kocha Mkuu wa Vitality Roses, Jess Thirlby alisema kuwa Mashindano ya mwezi Januari daima yanatoa fursa nzuri kwao na Kombe hilo la Mataifa litakuwa mtihani mwingine mzuri kwa kikosi chao cha vijana, chenye vipaji dhidi ya mabingwa wa dunia Australia, nambari mbili duniani.
“Pamoja na muundo mkali wa wikendi mbili za mechi za mfululizo dhidi ya mitindo tofauti ya uchezaji na fainali ya kushindana, imewekwa kuwa jukwaa bora la kuendelea kuonyesha kile ambacho timu yetu inaweza kufanya,” alisema Jess.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.