Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Ukata wasababisha Aman Queens kuuzwa

Kikosi cha Amani Queen. Kikosi cha Amani Queen.

DAR ES SALAAM

Na Nicholaus Kilowoko

Wamiliki wa timu ya soka ya wanawake inayoshiriki Ligi ya Wanawake Tanzania Bara, Amani Queens yenye maskani yake mkoani Lindi, wameamua kuiuza timu yao kutokana na ukata wa kifedha ambao umesababaisha washindwe kuiendesha.
Wakizungumza kutokana na kukutana na changamoto hiyo, wamiliki hao walisema kuwa mpira kwa sasa unahitaji fedha, hivyo wao ilifika wakati wanakosa kabisa stahiki za wachezaji, hali ambayo imewafanya waamue kuiuza timu hiyo.
Walisema kuwa kipindi cha nyuma walikuwa wanaomba michango kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuiendesha timu hiyo, lakini kwa sasa imefikia mwisho na kuamua kuiuza timu hiyo kwa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ.
Mwenyekiti wa Chama cha soka Mkoa wa Lindi, Hosea Lugano alisema kuwa kutokana na mwenendo mbovu ulikokuwa nao timu hiyo, wamiliki wake walimaua kuiuza timu hiyo kwa wawekezaji wengine ambao ni JWTZ.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.