Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Papa atilia shaka vita kuongezeka

VATICAN CITY, Vatican
Katika mahojiano kwenye kipindi cha luninga cha Italia,Papa Fransisko alisikitikia hatari ya kuongezeka kwa vita katika kona mbalimbali za dunia.
Aidha, alielezea jinsi ambavyo hana mpango wa kujiuzulu na kutangaza ziara za kitume huko Polynesia na Argentina.
Kama katika miezi hii ya migogoro ya Mashariki ya Kati na katika miaka hii ya uchokozi dhidi ya Ukraine, Papa Fransisko alirudi kuelezea juu ya hofu ya vita:
“Ni kweli kwamba ni hatari kufanya amani, lakini pia vita ni hatari zaidi,” alisema. Na alizungumzia mkutano aliokuwa nao Jumatano iliyopita tarehe 10 Januari 2024, na ujumbe wa watoto kutoka Ukraine kwamba:
“Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa akitabasamu. Watoto hutabasamu moja kwa moja, niliwapatia chokoleti na hawakutabasamu. Walikuwa wamesahau tabasamu lao, na kwa mtoto kusahau tabasamu lake, ni uhalifu. Hii inaleta vita: inakuzuia kuota.”

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.