Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Uwanja wa gofu Moshi kukarabatiwa

Wachezaji gofu wakiwa katika mazoezi Wachezaji gofu wakiwa katika mazoezi

DAR ES SALAAM

Na Mwandishi wetu

Uwanja wa gofu uliopo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, upo mbioni kukarabatiwa ili uwe na hadhi ya Kimataifa.
Akizungumza na Tumaini Letu, Afisa Michezo wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Charles Maguzu alisema kuwa mchakato huo umetokana na agizo lililotolewa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro aliyetaka uwanja huo kufanyiwa matengenezo.
Alisema kuwa agizo hilo linataka BMT kuhakikisha wanashirikiana na Chama cha Gofu nchini (TGU) katika kuhakikisha uwanja huo unafanyiwa maboresho na kuwa kwenye hadhi ya kimataifa.
Alisema kuwa Waziri Ndumbaro aliona kwamba uwanja huo umewaelemea TGU, hivyo wanahitaji msaada wa usimamizi ili uendelee kuwa bora na kuwasaidia watu wa ukanda huo kuutumia.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.