Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

LEVERKUSEN, Ujerumani
Mkurugenzi wa Michezo wa klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani, Simon Rolfes anasema kuwa ana uhakika kwamba kocha wa klabu hiyo, Xabi Alonso atasalia katika klabu hiyo baada ya majira ya joto, huku kukiwa na uvumi unaomhusisha kocha huyo kwenda katika klabu ya Liverpool ya Uingereza.
Alonso, ambaye alishinda Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA katika kipindi cha miaka mitano kama mchezaji Anfield, ametajwa kama mbadala wa Jurgen Klopp, ambaye ataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu.
Mhispania huyo ameibadilisha Leverkusen tangu kuteuliwa kwake BayArena Oktoba mwaka 2022, na amekuwa akiwahangaisha vigogo wengi katika mechi zake ambazo amekutana nao.
Leverkusen walikuwa kwenye eneo la kushushwa daraja wakati Alonso alipochukua usukani, lakini sasa wanajikuta wakiwa kileleni mwa msimamo baada ya kuichapa Bayern Munich 3-0 kwenye mchezo wa Ligi hiyo ya Bundesliga uliochezwa hivi karibuni.
“Ndiyo, nina uhakika na hilo moja ya sababu ni mkataba, nyingine ni jinsi anavyojisikia vizuri, familia, yeye mwenyewe”.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.