Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Kobe Bryant ajengewa sanamu

LOS ANGELES, Marekani
Bingwa mara tano wa National Basketball Association (NBA), Kobe Bryant, alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 41 katika ajali ya helikopta, pamoja na bintiye Gianna mwenye umri wa miaka 13, na watu wengine saba, mwaka 2020.
Sanamu yake ya shaba, iliyo na futi 19 na uzani wa lb 4,000, iko nje ya nyumba ya Lakers, Crypto.com Arena. Inaonyesha Bryant ambaye aliichezea Lakers maisha yake yote, katika jezi yake namba nane maarufu.
Gwiji wa Los Angeles Lakers Kobe Bryant ametunukiwa sanamu hiyo na timu ya NBA kufuatia kifo chake mwaka 2020. Mjane wake Vanessa na nguli wa zamani wa Lakers, Kareem Abdul-Jabbar walikuwa miongoni mwa watu waliotoa heshima zao, wakimuelezea Bryant kama “jinsi ubora unavyoonekana”.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.