Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Hasira zamponza nyota wa Uholanzi

Quincy Promes Quincy Promes

AMSTERDAM, Uholanzi
Mshambulizi wa zamani wa Uholanzi Quincy Promes amehukumiwa kifungo cha miezi 18 jela kwa kumdunga kisu binamu yake kwenye goti.
Tukio hilo lilitokea kwenye karamu ya familia mnamo Julai 2020 na fowadi huyo wa Spartak Moscow alipatikana na hatia ya kuhukumiwa na mahakama ya Uholanzi.
Wakili wake alisema kuwa atakata rufaa, kulingana na mtangazaji wa Uholanzi RTL.
Promes, ambaye pia amewahi kuzichezea Sevilla na Ajax, anaishi Urusi na hakuhudhuria kikao cha mahakama.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 31 pia alishtakiwa na waendesha mashtaka wa Uholanzi mwezi uliopita, kwa madai ya kuhusika na ulanguzi wa dawa za kulevya.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.