Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Habari Za Michezo

DAR ES SALAAM Na Arone Mpanduka Ukikatiza katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam, hasa muda wa jioni, utakutana na vikundi vya vijana…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Kocha mkuu wa timu ya KMC ya Kinondoni Jamhuri Kihwelo amesema anataka kufanya mpango wa kumshawishi golikipa mstaafu Juma…
LONDON, EnglandBingwa wa masumbwi mara mbili kwa upande wa wanawake Natasha Jonas, anatarajiwa kupanda ulingoni kupigania taji lake la nne la dunia mnamo Julai 1…
Dar es Salaam Na Arone Mpanduka Arsenal ilianza kama utani hivi pale kikundi cha wafanyakazi katika kiwanda cha kuzalisha zana za kivita cha Woolwich, walipoamua…
AMSTERDAM, UholanziMshambulizi wa zamani wa Uholanzi Quincy Promes amehukumiwa kifungo cha miezi 18 jela kwa kumdunga kisu binamu yake kwenye goti.Tukio hilo lilitokea kwenye karamu…
Dar es Salaam Na Mwandishi wetu Imeelezwa kuwa timu za soka za Simba, Yanga na Azam FC zipo kwenye hekaheka za kuchomoleana wachezaji wenyewe kwa…
Na Arone Mpanduka Hivi karibuni tumeshuhudia Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) likimtimua kocha wa timu ya taifa (Taifa Stars), Kim Poulsen, baada ya…
Nairobi, KenyaMwendesha baiskeli wa Kenya Suleiman Kangangi amefariki dunia kufuatia ajali ya mwendo kasi katika mbio za magari nchini Marekani siku ya Jumamosi.Mchezaji huyo mwenye…
DAR ES SALAAM Na Nicolaus Kilowoko Kocha Msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars Mecky Mexime amefunguka kuwa kwa sasa Watanzania wanapaswa kuganga…
DAR ES SALAAM Na Arone Mpanduka Afisa Habari wa Klabu ya soka ya Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa timu yake imeanza maandalizi ya sherehe…
Page 6 of 7