Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha
ADDIS ABABA, Ethiopia Baraza la Maaskofu Katoliki Ethiopia (CBCE) limemteua Padre Asfaw Ketema kuwa Katibu Mkuu mpya.Ataanza rasmi jukumu hilo Juni mwaka huu, akimrithi Askofu…
LiLONGWE, Malawi Baba Mtakatifu Fransisko amemtambua Padri Henry Chinkanda wa Jimbo Katoliki Dedza na Padri Patrick Thawale wa Lilongwe, kuwa Mamonsiyori.Heshima hii ilitolewa kwa Mapadri…
Katika safu hii ya Chimba Chimba Historia ya Kanisa wiki iliyopita, tuliangazia jinsi Uislamu ulivyoteka Afrika ya Kaskazini. Leo tunawaletea jinsi gani Ukristo ulivyoinjilishwa Barani…
VATICAN CITY, VaticanKitabu kuhusu maisha ya Baba Mtakatifu Benedikto XVI (2005-2013:wa 265-hayati), kimewekwa hadharani baada ya matayarisho yake kukamilika.Kitabu hicho kinachofahamika kwa jina la El…
Dar es Salaam Na Edvesta Tarimo Kwa mujibu wa Benki ya Dunia (World Bank -2023), inakadiriwa kuwa uzalishaji wa taka utaongezeka kwa 70% kutoka tani…
LONDON, UingerezaHakuna muda ulio wazi wa kurejea kwa Andy Murray, baada ya nyota huyo aliyekuwa mchezaji nambari moja wa Uingereza kupasuka mishipa ya kifundo cha…
BURNLEY, UingerezaMeneja wa klabu ya soka ya Burnley Vincent Kompany amelalamikia kiwango cha mwamuzi katika Ligi Kuu ya England msimu huu, akidai kuwa hakijakuwa kizuri…
Dar es Salaam Na Nicolaus Kilowoko Kocha Mkuu wa klabu ya soka ya Singida Fountain Gate FC, Jamhuri Kihwelo maarufu kama ‘Julio,’ amepinga madai ya…
DAR ES SALAAM Na Mathayo Kijazi Parokia Teule tatu za Mbweni Teta, Mbopo, na Nyakasangwe Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam zimepandishwa hadhi kuwa…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Waoblate watawa wa tatu wa Shirika la Mtakatifu Benedikto, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wametakiwa kuendelea kushiriki…